SBS Swahili - SBS Swahili

Taarifa ya Habari 17 Februari 2025

Listen on

Episode notes

Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na wabunge huru, kama vyama viwili vikubwa nchini havita weza unda serikali ya wengi.