SportsCast

Mikimbio ya Washambuliaji wa Simba SC

Listen on

Episode notes

Bila shaka ulimsikia beki wa Mtibwa Sugar, Abdi Banda aliposema kwamba washambuliaji wa Simba ni rahisi kuwakaba. Je kauli hii inaukweli?

Clifford Sangai amekutana na Prosper Bartalomew chini ya mti ili kuangazia na kuchambua kwa undani mikimbio ya washambuliaji wa Simba yaani Kagere, Mugalu na Bocco

Usisite kushea na marafiki Episode hii

Pia unaweza kupakua majarida yetu BURE kuhusu AFCON:

https://sportscasttz.gumroad.com/l/stajt

https://sportscasttz.gumroad.com/l/jbxud