SportsCast

Washambuliaji wawili, mawinga wenye kasi na namba 10

Listen on

Episode notes

Kuna surprise kibao kwenye Ligi Kuu Tanzania bara ambazo tumeziona baada ya Game week mbili.

Matumizi ya washambuliaji wawili

Timu kuhamia back-four

Mawinga wenye speed

Singida Big Star

Aziz Ki vs Chama

Sikiliza episode hii kuyajua yote hayo kisha tupe maoni yako