SportsCast

Mwaka mmoja wa Nabi: Mbinu na Ufundi

Listen on

Episode notes

Ni mwaka mmoja sasa tangu Nasreddine Nabi achukue mikoba ya kukinoa kikosi cha Yanga kutoka kwa Cedric Kaze ambaye kwa sasa ni msaidizi wake. Kuna mambo mengi ameyabadili katika kikosi hicho ambayo Clifford Sangai na Prosper Bartalomew wanayajadili katika episode hii. Kati ya hayo ni kumfanya kiungo Feisal Salum kucheza katika eneo la mbele zaidi kuliko alipokuwa akicheza hapo awali. Swala la muhimu zaidi ni nafasi ambayo wachezaji vijana waliopo Yanga wanapewa nafasi na Nabi. Sikiliza episode hii kisha tupe maoni yako.